JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA

TAASISI YENYE VIWANGO VYA ISO 9001: 2015

DIRA
Jamii iliyowezeshwa na huduma za mawasiliano.

DHIMA
Kusimamia huduma za mawasiliano kwa ustawi wa Jamii ya Watanzania.

WAJIBU
Wajibu wa Mamlaka ya Udhibiti Mawasiliano Tanzania (TCRA) ni kudhibiti sekta ya mawasiliano na kielektroni na posta kwa mujibu wa Sheria ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania Namba 12 ya mwaka 2003

Je, una Maswali yoyote juu ya Sekta ya Mawasiliano?
Tuma Mrejesho na Malalamiko!

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imejidhatiti kutoa huduma bora kwa wateja na wadau wake wote.

Tuma Mrejesho na Malalamiko!